Marko 1:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.

11. Sauti ikasikika kutoka mbinguni: “Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe.”

12. Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,

Marko 1