Marko 1:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.

2. Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya:“Mungu alisema, ‘Namtuma mjumbe wangu akutangulie,ambaye atakutayarishia njia yako.’

3. Sauti ya mtu anaita jangwani:‘Mtayarishieni Bwana njia yake,nyosheni barabara zake.’”

Marko 1