16. Fahari tuliyojivunia imetokomea.Ole wetu kwa kuwa tumetenda dhambi!
17. Kwa ajili hiyo tumeugua moyoni,kwa mambo hayo macho yetu yamefifia.
18. Maana mlima Siyoni umeachwa tupu,mbweha wanazurura humo.
19. Lakini wewe Mwenyezi-Mungu watawala milele,utawala wako wadumu vizazi vyote.