34. Wafungwa wote nchiniwanapodhulumiwa na kupondwa;
35. haki za binadamu zinapopotoshwambele yake Mungu Mkuu,
36. kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani,je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?
37. Nani awezaye kuamuru kitu kifanyikeMwenyezi-Mungu asipopanga iwe hivyo?