Malaki 3:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini ni nani atakayestahimili siku hiyo atakapokuja? Ni nani atakayesimama kustahimili atakapotokea? Yeye ni kama moto mkali usafishao chuma; ni kama sabuni ya dobi.

Malaki 3

Malaki 3:1-7