Malaki 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa mataifa kote duniani, toka mawio ya jua hadi machweo yake, wanalitukuza jina langu. Kila mahali wananifukizia ubani na kunitolea tambiko zinazokubalika; maana jina langu linatukuzwa miongoni mwao.

Malaki 1

Malaki 1:3-14