10. kwa maana imeandikwa:‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’
11. na tena,‘Watakuchukua mikononi mwao,usije ukajikwaa mguu kwenye jiwe.’”
12. Lakini Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
13. Ibilisi alipokwisha mjaribu kwa kila njia, akamwacha kwa muda.