Luka 24:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Wakawa wanazungumza juu ya hayo yote yaliyotukia.

15. Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akatokea, akatembea pamoja nao.

16. Walimwona kwa macho, lakini hawakumtambua.

Luka 24