Kutoka 6:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu Mose, “Sasa utaona jinsi nitakavyomtenda Farao; maana kwa nguvu atalazimika kuwaacha watu wangu watoke. Naam, kwa nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”

2. Mungu akamwambia Mose, “Mimi ni Mwenyezi-Mungu.

Kutoka 6