Kutoka 39:25-27 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Kisha walitengeneza njuga za dhahabu, na kila baada ya komamanga walitia njuga kwenye upindo wa joho.

26. Hivyo, njuga na komamanga vilifuatana kuuzunguka upindo wa joho hilo, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose.

27. Kisha wakawafumia Aroni na wanawe vizibao vya kitani safi,

Kutoka 39