Kutoka 30:12 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kila utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja atalipa fidia kwa ajili ya nafsi yake mbele yangu ili pasiwe na maradhi mabaya miongoni mwao wakati wa kuhesabiwa.

Kutoka 30

Kutoka 30:3-22