Kutoka 28:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Waambie wamtengenezee vitu vifuatavyo: Kifuko cha kifuani, kizibao, kanzu, joho iliyonakshiwa, kilemba na mshipi. Aroni nduguyo na wanawe watayavaa ili wanitumikie kama makuhani.

Kutoka 28

Kutoka 28:2-14