Kutoka 16:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walikula mana kwa muda wa miaka arubaini, mpaka walipofika katika nchi iliyofaa kuishi, nchi iliyokuwako mpakani mwa Kanaani ambako walifanya makao yao.

Kutoka 16

Kutoka 16:34-36