Kutoka 14:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamfanya Farao, mfalme wa Misri, kuwa mkaidi naye akawafuatia Waisraeli ambao walikuwa wameondoka Misri kwa ushupavu.

Kutoka 14

Kutoka 14:2-17