6. Baadaye, Yosefu alifariki, hali kadhalika ndugu zake na kizazi kile chote.
7. Lakini wazawa wa Israeli waliongezeka sana, wakawa wengi na wenye nguvu mno, wakaenea kila mahali nchini Misri.
8. Basi, akatokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.