Kutoka 1:2-6 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda,

3. Isakari, Zebuluni, Benyamini,

4. Dani, Naftali, Gadi na Asheri.

5. Wazawa wote wa Yakobo walikuwa watu 70. Wakati huo Yosefu alikuwa amekwisha tangulia kukaa huko Misri.

6. Baadaye, Yosefu alifariki, hali kadhalika ndugu zake na kizazi kile chote.

Kutoka 1