Kutoka 1:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Haya ndiyo majina ya watoto wa kiume wa Israeli, ambao walikwenda Misri, kila mmoja na jamaa yake:

2. Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda,

3. Isakari, Zebuluni, Benyamini,

Kutoka 1