18. “ ‘Usizini.
19. “ ‘Usiibe.
20. “ ‘Usimshuhudie jirani yako uongo.
21. “ ‘Usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba yake, wala shamba lake, wala mtumwa wake wa kiume au wa kike, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu chochote alicho nacho jirani yako.’