Kumbukumbu La Sheria 31:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawatangulia na kuyaangamiza mataifa yanayoishi huko, ili muimiliki nchi yao. Yoshua atakuwa kiongozi wenu kama alivyosema Mwenyezi-Mungu.

Kumbukumbu La Sheria 31

Kumbukumbu La Sheria 31:1-7