1. “Tazameni mtumishi wangu ninayemtegemeza;mteule wangu ambaye moyo wangu umependezwa naye.Nimeiweka roho yangu juu yake,naye atayaletea mataifa haki.
2. Hatalia wala hatapiga kelele,wala hatapaza sauti yake barabarani.
3. Mwanzi uliochubuka hatauvunja,utambi ufukao moshi hatauzima;ataleta haki kwa uaminifu.