Isaya 32:19-20 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Msitu wa adui utatoweka kabisa,na mji wake utaangamizwa.

20. Lakini heri yenu nyinyi:Mtapanda mbegu zenu popote penye maji,ng'ombe na punda wenu watatembeatembea watakavyo.

Isaya 32