Isaya 17:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatazielekea tena madhabahu ambazo ni kazi za mikono yao wenyewe, wala kuzitazamia tena kazi za mikono yao wenyewe, yaani sanamu za mungu Ashera na madhabahu za kufukizia ubani.

Isaya 17

Isaya 17:4-14