Isaya 1:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Mtakuwa kama mwaloni unaonyauka majani;kama shamba lisilo na maji.

31. Wenye nguvu watakuwa kama majani makavu,matendo yao yatakuwa kama cheche za moto.Watateketea pamoja na matendo yao,wala hapatakuwa na mtu wa kuwaokoa.

Isaya 1