Hosea 12:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Yakobo alikimbia nchi ya Aramuakiwa huko alifanya kazi apate mke,akachunga kondoo ili apate mke.

13. Kwa nabii Mwenyezi-Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri,na kwa nabii Mungu aliwahifadhi.

14. Waefraimu wamemchukiza Mwenyezi-Mungu sana.Lakini Mwenyezi-Mungu atawalipiza makosa yao,atawaadhibu kwa mambo maovu waliyotenda.

Hosea 12