Hesabu 5:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Kila kitu kilichowekwa wakfu kwa Mungu na kupelekwa kwa kuhani kitakuwa chake.”

11. Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

12. “Waambie Waisraeli: Kama mke wa mtu yeyote amepotoka akakosa uaminifu kwa mumewe,

Hesabu 5