Hesabu 36:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hizo ndizo amri na maagizo ambayo Mwenyezi-Mungu aliwapa Waisraeli kwa njia ya Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya Mto Yordani karibu na mji wa Yeriko.

Hesabu 36

Hesabu 36:7-13