Hesabu 34:20-23 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Kabila la Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.

21. Kabila la Benyamini, Elidadi mwana wa Kisloni.

22. Kabila la Dani, Buki mwana wa Yogli.

23. Kabila la Manase mwanawe Yosefu, Hanieli mwana wa Efodi.

Hesabu 34