9. Kutoka Mara, walisafiri hadi Elimu; huko Elimu kulikuwa na chemchemi kumi na mbili za maji na mitende sabini, wakapiga kambi yao mahali hapo.
10. Walisafiri kutoka Elimu, wakapiga kambi yao karibu na bahari ya Shamu.
11. Kutoka Bahari ya Shamu walipiga kambi yao katika jangwa la Sini.
12. Kutoka jangwa la Sini, walipiga kambi yao Dofka.