Hesabu 33:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa agizo la Mwenyezi-Mungu kuhani Aroni alipanda juu ya Mlima Hori, na huko, akafariki mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arubaini tangu Waisraeli walipotoka nchini Misri.

Hesabu 33

Hesabu 33:29-46