Hesabu 32:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini sisi watumishi wako tuko tayari kwenda vitani chini ya uongozi wa Mwenyezi-Mungu. Tutavuka mto Yordani na kupigana, kama ulivyosema.”

Hesabu 32

Hesabu 32:20-28