Hesabu 32:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Makabila ya Reubeni na Gadi yalikuwa na mifugo mingi sana. Basi, walipoona kwamba eneo la Yazeri na Gadi lilifaa kwa mifugo,

2. waliwaendea Mose, kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, wakawaambia,

Hesabu 32