37. Hizo ndizo koo za Efraimu, jumla wanaume 32,500. Zote hizo zilitokana na Yosefu.
38. Kabila la Benyamini lilikuwa na jamaa za Bela, Ashbeli, Ahiramu,
39. Shufamu na Hufamu.
40. Koo za Ardi na Naamani, zilitokana na Bela.
41. Hizo ndizo koo za Benyamini, jumla wanaume 45,600.
42. Kabila la Dani lilikuwa na jamaa ya Shuhamu;
43. ukoo ulikuwa na wanaume 64,400.