28. Kabila la Yosefu baba yao Manase na Efraimu.
29. Kabila la Manase lilikuwa na jamaa ya: Makiri, Gileadi.
30. Yezeri, Heleki,
31. Asrieli, Shekemu,
32. Shemida na Heferi.
33. Selofehadi, mwana wa Heferi hakupata watoto wa kiume bali wa kike tu, nao ni Mala, Noa, Hogla, Milka na Tirza.
34. Hizo ndizo koo za Manase, jumla wanaume 52,700.