Hesabu 24:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa Balaamu alitambua kwamba Mwenyezi-Mungu alipenda kuwabariki Waisraeli, kwa hiyo hakwenda kupiga bao tena, akawa anaangalia jangwani.

Hesabu 24

Hesabu 24:1-7