Hesabu 22:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, Balaki alimchukua Balaamu, akapanda naye mpaka Bamoth-baali; kutoka huko, Balaamu aliweza kuwaona baadhi ya Waisraeli.

Hesabu 22

Hesabu 22:34-41