Hesabu 22:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Mwenyezi-Mungu akayafungua macho ya Balaamu, naye akamwona malaika wa Mwenyezi-Mungu amesimama njiani, ameshika upanga uliochomolewa alani mwake. Balaamu akajitupa chini kifudifudi.

Hesabu 22

Hesabu 22:28-33