Hesabu 22:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mungu akamjia Balaamu usiku huo, akamwambia, “Kama watu hawa wamekuja kukuita, nenda pamoja nao, lakini fanya tu kile nitakachokuambia.”

Hesabu 22

Hesabu 22:19-30