Hesabu 21:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Waisraeli walimuua, wakaitwaa nchi yake tangu mto Arnoni hadi mto Yaboki, yaani hadi mpaka wa nchi ya Waamoni ambao ulikuwa unalindwa sana.

Hesabu 21

Hesabu 21:20-31