Hesabu 2:26-28 Biblia Habari Njema (BHN)

26. kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 62,700.

27. Kisha wale watakaopiga kambi baada yao watakuwa watu wa kabila la Asheri, kiongozi wao akiwa Pagieli mwana wa Okrani,

28. kikosi chake kulingana na hesabu kitakuwa na watu 41,500.

Hesabu 2