Hesabu 18:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, ndivyo mtakavyonitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka za zaka mtakazopokea kutoka kwa Waisraeli. Zaka hiyo mtakayonitolea mimi Mwenyezi-Mungu mtampa kuhani Aroni.

Hesabu 18

Hesabu 18:25-31