Hesabu 14:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Jumuiya yote ya Waisraeli ikaangua kilio kikubwa, watu wakalia usiku ule.

2. Waliwalalamikia Mose na Aroni wakisema, “Afadhali tungefia Misri! Afadhali tungefia papa hapa jangwani!

Hesabu 14