4. Ifuatayo ndiyo orodha ya majina ya watu hao:Kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri.
5. Kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori.
6. Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
7. Kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu.
8. Kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni.
9. Kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu.
10. Kabila la Zebuluni, Gadieli mwana wa Sodi.
11. Kabila la Yosefu (yaani kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi.
12. Kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali.