Hesabu 1:8-12 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;

9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;

10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

11. Kabila la Benyamini: Abidani mwana wa Gideoni;

12. Kabila la Dani: Ahiezeri mwana wa Amishadai;

Hesabu 1