8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;
9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;
10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;
11. Kabila la Benyamini: Abidani mwana wa Gideoni;
12. Kabila la Dani: Ahiezeri mwana wa Amishadai;