6. Kabila la Simeoni: Shelumieli mwana wa Suri-shadai;
7. Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;
8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;
9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;
10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;