Hesabu 1:6-10 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Kabila la Simeoni: Shelumieli mwana wa Suri-shadai;

7. Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;

8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;

9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;

10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

Hesabu 1