5. Haya ndiyo majina ya watu watakaokusaidia:Kabila la Reubeni: Elisuri, mwana wa Shedeuri;
6. Kabila la Simeoni: Shelumieli mwana wa Suri-shadai;
7. Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;
8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;
9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;
10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;
11. Kabila la Benyamini: Abidani mwana wa Gideoni;
12. Kabila la Dani: Ahiezeri mwana wa Amishadai;
13. Kabila la Asheri: Pagieli mwana wa Okrani;
14. Kabila la Gadi: Eliasafu mwana wa Deueli;
15. Kabila la Naftali: Ahira mwana wa Enani.”
16. Hawa ndio viongozi waliochaguliwa miongoni mwa jumuiya yote ya watu wa Israeli, kama viongozi wakuu wa makabila yao na viongozi wa koo za Israeli.
17. Basi, Mose na Aroni wakawachukua watu hawa waliotajwa,