Hesabu 1:4-16 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Tena mwanamume mmoja wa kila kabila atakuwa pamoja nanyi, kila mmoja aliye kiongozi wa jamaa za kabila lake.

5. Haya ndiyo majina ya watu watakaokusaidia:Kabila la Reubeni: Elisuri, mwana wa Shedeuri;

6. Kabila la Simeoni: Shelumieli mwana wa Suri-shadai;

7. Kabila la Yuda: Nashoni mwana wa Aminadabu;

8. Kabila la Isakari: Nethaneli mwana wa Suari;

9. Kabila la Zebuluni: Eliabu mwana wa Heloni;

10. Kabila la Efraimu: Elishama mwana wa Amihudi;Kabila la Manase: Gamalieli mwana wa Pedasuri;

11. Kabila la Benyamini: Abidani mwana wa Gideoni;

12. Kabila la Dani: Ahiezeri mwana wa Amishadai;

13. Kabila la Asheri: Pagieli mwana wa Okrani;

14. Kabila la Gadi: Eliasafu mwana wa Deueli;

15. Kabila la Naftali: Ahira mwana wa Enani.”

16. Hawa ndio viongozi waliochaguliwa miongoni mwa jumuiya yote ya watu wa Israeli, kama viongozi wakuu wa makabila yao na viongozi wa koo za Israeli.

Hesabu 1