11. Kabila la Benyamini: Abidani mwana wa Gideoni;
12. Kabila la Dani: Ahiezeri mwana wa Amishadai;
13. Kabila la Asheri: Pagieli mwana wa Okrani;
14. Kabila la Gadi: Eliasafu mwana wa Deueli;
15. Kabila la Naftali: Ahira mwana wa Enani.”
16. Hawa ndio viongozi waliochaguliwa miongoni mwa jumuiya yote ya watu wa Israeli, kama viongozi wakuu wa makabila yao na viongozi wa koo za Israeli.
17. Basi, Mose na Aroni wakawachukua watu hawa waliotajwa,