Ezra 10:30-34 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Ukoo wa Pahath-moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Besaleli, Binui na Manase.

31. Ukoo wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

32. Benyamini, Maluki na Shemaria.

33. Ukoo wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

34. Ukoo wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,

Ezra 10