Ezra 10:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna aliyepinga mpango huu, ila Yonathani, mwana wa Asaheli na Yazeya, mwana wa Tikwa, nao wakaungwa mkono na Meshulamu na Mlawi Shabethai.

Ezra 10

Ezra 10:7-16