Ezekieli 8:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu ya mambo hayo watasikia uzito wa ghadhabu yangu. Sitamwacha hata mmoja aponyoke wala sitamwonea huruma mtu yeyote. Hata wakinililia kwa sauti kubwa mimi sitawasikiliza.”

Ezekieli 8

Ezekieli 8:14-18